MILA YA NYUMBA MBOKE NA MASAIBU YAKE

Miongoni mwa jamii ya wakuria wanaoishi katika kaunti ya Migori NYUMBA MBOKE ni aina ya ndowa ambapo mwanamke huowa mwanamke mwenzake.Tamaduni hii ambayo imekita mizizi miongoni mwa jamii hii inashutumiwa sana kwa kuchangia kuenea kwa virusi vya ukimwi.Makala haya yanaelezea kwa kina mengi kuhusu mila hii ambayo mara nyingi haizungumziwi hadharani.Katika malkala haya niliongea na waathiriwa wa mila hii potovu, wenye kuieneza na vile vile nikachukuwa maoni ya jamii kwa jumla.

2356 232

Suggested Podcasts

Morbidology

Launch Youniversity Mentors: Jeff Henderson, David Farmer, Shane Benson and Kevin Jennings

Behind the Bytes

Yoga Palani

Arati Chavan

Pst. Henry Caleb Terlumun Jnr.

Prajakta khot patil