AGIZO LA RAIS KUHUSU UKEKETAJI LATILIWA SHAKA

Serikali ya Kenya chini ya uongozi wa Rais Uhuru Kenyattaa iliahidi kuangamiza kabisa tabia ya ukeketaji wa wanawake hapa nchini ifikapo mwaka wa 2022.Mwanahabari wetu Philip Miyawa alitembelea vijiji vya Kuria katika county ya Migori ambapo tabia hii bado imekita mizizi miongoni mwa jamii na kutathmini juu ya uwezekano wa jamii hiyo kuwachana na mila hii potovu ifikapo mwaka ujao.

2356 232

Suggested Podcasts

flightsafetydetectives

Chel Hamilton | Meditation Minis

Institute of Real Estate Management

The Daily Wire

ラジオNIKKEI

Marc Epner, Al Waterloo

USA TODAY NETWORK - Tennessee

Pacific Northwest Stories

Prarthana Khare

Anupam Mishra